Watanzania wenzangu,nimetengeneza petition hii ili kuunga mkono vita dhidi ya ufisadi inayoendelea Tanzania.Kama unaunga mkono,naomba usign kwa kutoa maoni yako ili kuendeleza vita hii.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Watanzania wenzangu,nimetengeneza petition hii ili kuunga mkono vita dhidi ya ufisadi inayoendelea Tanzania.Kama unaunga mkono,naomba usign kwa kutoa maoni yako ili kuendeleza vita hii.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Enough is enough! Mabadiliko yanahitajika sasa hivi. Mungu atusaidie tusionane kama wajinga kila siku.