Si suala la mjadala linaloendelea Gaza kwamba ni ukatili, udhali na mauaji ya kimbari yanayoendelezwa na Israel na wadhamini wake. Kunyamaza kwenu nikuukubali unyama na ukosefu wa utu naubinadamu unaoendelezwa na Israel kwa mpalestina asiye na hatia.
S
Salim m maulu
1 year ago
One day yes
N
Nassor
1 year ago
Peace in Gaza
A
Abubakar Sadik Amin Al-Alawy
1 year ago
I support the petition
N
Njeri Mwangi
1 year ago
Open Rafah gates now.
A
Anonymous
1 year ago
Kazi na utu
F
Fikeni Senkoro
1 year ago
Haya mauaji ya kimbari yanasikitisha MNO. Historia itatoa hukumu.
A
Anonymous
1 year ago
Kunyamazia uovu ni aibu na inashusha thamani ya utu wetu
D
Dr Baba Lian
1 year ago
We urge the government to respond on this matter
A
abuu shani
1 year ago
all human are equal let
M
Mwafrika Merinyo
1 year ago
Ni aibu kubwa sana kwamba leo serikali zetu zinahangaika na kusalia madarakani pekee hata marais wetu wameshindwa (wamekataa!) kujihusisha na madhila yanayowafika ndugu zetu wa Gaza!
B
Brian Mathenge
1 year ago
We are not scared.
A
Ally Said Rweyemamu
1 year ago
Naungana nawe kulaani ukimya wa serikali zetu za Afrika mashariki na hasa nchi yetu ya Tanzania
A
Anonymous
1 year ago
Free Palestine
A
Abdulfatah Mussa Iddi
1 year ago
Kadhia ya Palestina ni kadhia ya UTU ni sawa na ilivyokuwa ya Afrika Kusini enzi za Makaburu
M
Mahir Meghji
1 year ago
Featured
What is happening in Gaza is unbearable. Children are short as a target practice, starved to death. This is not just tragedy, it’s a crime against humanity- Genocide. I urge our Government to take stand and publicly condemn Israel’s actions. Our Government silence is not neutral. It is complicit.
If you stay silent now, history will not.
H
Hermes Damian
1 year ago
Featured
Hakika, tunaugua kwa ukimya wa salerikali zetu. Kama ziko kwenye shinikizo la kutokukosoa ukatili huu. Kwa ukimya wenu mmetufanya sote tuwe Kama tunaunga mkono undamaged huu.
Najiuliza, je, serikali hizi zingekuwa madarakani wakati nchi za Afrika kikipambana kukomboa nchi nyingine kama Afrika kusini wangefanya jambo kweli ama wangekaa kungoja watesi waamue hatima ya wenzetu?
C
Capt Ibrahim Mbiu Bendera
1 year ago
Featured
Tolerating Israel is supporting what they & their friend USA are doing; killing children & their mothers with HUNGER!
Conducting apartheid policy by killing Palestinians, destroying their country and denying them their free Palestine State. WE, EAC Sates should close our embassies in Israel and cut off diplomatic ties with them.
Serikali acheni kuwa bubu
Si suala la mjadala linaloendelea Gaza kwamba ni ukatili, udhali na mauaji ya kimbari yanayoendelezwa na Israel na wadhamini wake. Kunyamaza kwenu nikuukubali unyama na ukosefu wa utu naubinadamu unaoendelezwa na Israel kwa mpalestina asiye na hatia.
One day yes
Peace in Gaza
I support the petition
Open Rafah gates now.
Kazi na utu
Haya mauaji ya kimbari yanasikitisha MNO. Historia itatoa hukumu.
Kunyamazia uovu ni aibu na inashusha thamani ya utu wetu
We urge the government to respond on this matter
all human are equal let
Ni aibu kubwa sana kwamba leo serikali zetu zinahangaika na kusalia madarakani pekee hata marais wetu wameshindwa (wamekataa!) kujihusisha na madhila yanayowafika ndugu zetu wa Gaza!
We are not scared.
Naungana nawe kulaani ukimya wa serikali zetu za Afrika mashariki na hasa nchi yetu ya Tanzania
Free Palestine
Kadhia ya Palestina ni kadhia ya UTU ni sawa na ilivyokuwa ya Afrika Kusini enzi za Makaburu
What is happening in Gaza is unbearable. Children are short as a target practice, starved to death. This is not just tragedy, it’s a crime against humanity- Genocide. I urge our Government to take stand and publicly condemn Israel’s actions. Our Government silence is not neutral. It is complicit. If you stay silent now, history will not.
Hakika, tunaugua kwa ukimya wa salerikali zetu. Kama ziko kwenye shinikizo la kutokukosoa ukatili huu. Kwa ukimya wenu mmetufanya sote tuwe Kama tunaunga mkono undamaged huu. Najiuliza, je, serikali hizi zingekuwa madarakani wakati nchi za Afrika kikipambana kukomboa nchi nyingine kama Afrika kusini wangefanya jambo kweli ama wangekaa kungoja watesi waamue hatima ya wenzetu?
Tolerating Israel is supporting what they & their friend USA are doing; killing children & their mothers with HUNGER! Conducting apartheid policy by killing Palestinians, destroying their country and denying them their free Palestine State. WE, EAC Sates should close our embassies in Israel and cut off diplomatic ties with them.
Uhuru kwa Palestina!