Skip to main content

TUMESIKITISHWA SANA NA UKIMYA WA SERIKALI ZETU

51 Comments

D
Deus Mbelwa Respicius
1 year ago

I stand with Gaza

T
Tina Mfanga
1 year ago

Tuungane kupinga mauaji ya Gaza

J
Josephat Zakaria Joseph
1 year ago

Cut ties with Israel. Uhuru Kwa Palestina

M
Mohammed Mohammed
1 year ago

Hii si sawa na serikali zetu lazima zichukuwe hatua.

Y
yusuph kichawele
1 year ago

Let's stand with Palestine people. Injustice somewhere is Injustice everywhere. I stand in solidarity with Palestine

D
Daniel Sichula
1 year ago

Maraisi wa nchi za Afrika Mashariki wanatakiwa kutoa neno juu ya ukiukaji haki Kwa Waisraeli juu ya waPalestina

N
Nyangu
1 year ago

What is happening in Gaza is inhumane. There is no justification to maime and murder children as well!

N
Nizar Visram
1 year ago

Naunga mkono mamilioni ya wananchi ulimwenguni wanaolani mauaji ya kimbari

S
Sabatho Nyamsenda
1 year ago Featured

Tunazitaka Serikali za Afrika Mashariki kusimama katika upande sahihi wa historia. Zilaani na kuchukua hatua kali dhidi ya uzayuni, ambao kiuhalisia ni ukaburu ulio na lengo la kuwateketeza Wapalestina na kutwaa ardhi yao. From the river to the sea, Palestine shall be free.

A
Abdul-Aziz Carter
1 year ago

Free Palestine

W
Willy Mutunga
1 year ago

Silence on the Gaza holocaust is complicity without the participation and authority of the people of EA