Kweli inabidi Waafrika tufanye jambo kuhusiana na mauaji haya!
A
Anonymous
1 year ago
Stop occupation
A
Abdallah Chimerah
1 year ago
Yanayotendwa Gaza na Israeli chini ya ufadhili wa Amerika na nchini nyengine za Magharibi kwa miaka 75 sasa, ni ukatili, kinyume na haki za kibinadamu na matendo ya kikoloni. Hayafai kushuhudiwa katika karne hii wala nyengine yoyote ile.
N
Naomi Barasa
1 year ago
Afrika yastahili kuwa mstari wa mbele katika kulaani ukoloni kufuatia maisha ya kutawaliwa na wakoloni.
K
Khalid Sasamalo
1 year ago
Please do something
S
Stambuli Abdillahi Nassir
1 year ago
It's genocide!
M
Mohammed Mahfudh
1 year ago
I support anything that will be helpful for my country
M
Muhammad Yusuf
1 year ago
Hakika ni jambo la kusikitisha mno kwa kiongozi yoyote anaeona dhulma mahala popote ulimwenguni, khususan dhulma na ukatili huu unaoendelea Gaza, na kukaa kimya!
N
Nassor Hamad Omar
1 year ago
Tunalaani Ushenzi wa wazayuni.
I
ISSA SONGOK
1 year ago
Featured
Vile vile mashirika za kiislamu kama SUPKEM ya Kenya na BAKWATA ya Tanzania wangepanga maandamano makubwa nchini, tutazuiliwa na Kupigwa lakini kujitolea ndio laugha ambayo serikali zetu zinaelewa.
L
Leonard Mselle
1 year ago
Featured
Ahadi za Mwana-TANU
1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.
2. Nitajitolea nfsi yangu kuondoa nujinga, maradhi na dhuluma.
Watanzania mliokomboa kusini mko wapi?
S
Sayyed Abdulsamad
1 year ago
None
A
Abdulfattah al-bakry
1 year ago
Israel commits genocide everyday. Free Palestine
W
Walter Bgoya
1 year ago
Kwa kunyamazia unyama unaofanywa Gaza na Netanyahu na jeshi lake la wauaji wa Kimbari ni kusema serikali zetu ni washirika wa kimya wa mauaji hayo!
A
Anonymous
1 year ago
I stand with Palestine, I stand with oppressed people
M
mohamed jattani dalacha
1 year ago
Very unacceptable. #freepalestine
R
Rehana Elloffy
1 year ago
I am signing because of killing innocent people children it's really hard to bear what is done there
S
sharif hassan
1 year ago
East africa hakuna viongozi na wao ni wauwaji watawezaje kulaani mambo wanayoyafanya
Na mauaji ya kwetu pia
Kweli inabidi Waafrika tufanye jambo kuhusiana na mauaji haya!
Stop occupation
Yanayotendwa Gaza na Israeli chini ya ufadhili wa Amerika na nchini nyengine za Magharibi kwa miaka 75 sasa, ni ukatili, kinyume na haki za kibinadamu na matendo ya kikoloni. Hayafai kushuhudiwa katika karne hii wala nyengine yoyote ile.
Afrika yastahili kuwa mstari wa mbele katika kulaani ukoloni kufuatia maisha ya kutawaliwa na wakoloni.
Please do something
It's genocide!
I support anything that will be helpful for my country
Hakika ni jambo la kusikitisha mno kwa kiongozi yoyote anaeona dhulma mahala popote ulimwenguni, khususan dhulma na ukatili huu unaoendelea Gaza, na kukaa kimya!
Tunalaani Ushenzi wa wazayuni.
Vile vile mashirika za kiislamu kama SUPKEM ya Kenya na BAKWATA ya Tanzania wangepanga maandamano makubwa nchini, tutazuiliwa na Kupigwa lakini kujitolea ndio laugha ambayo serikali zetu zinaelewa.
Ahadi za Mwana-TANU 1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja. 2. Nitajitolea nfsi yangu kuondoa nujinga, maradhi na dhuluma. Watanzania mliokomboa kusini mko wapi?
None
Israel commits genocide everyday. Free Palestine
Kwa kunyamazia unyama unaofanywa Gaza na Netanyahu na jeshi lake la wauaji wa Kimbari ni kusema serikali zetu ni washirika wa kimya wa mauaji hayo!
I stand with Palestine, I stand with oppressed people
Very unacceptable. #freepalestine
I am signing because of killing innocent people children it's really hard to bear what is done there
East africa hakuna viongozi na wao ni wauwaji watawezaje kulaani mambo wanayoyafanya
Free Gaza, Free Palestine ✊