Sema HAPANA kwa mapendekezo ya mabadiliko ya udahili katika kada ya Uuguzi.
279 Comments
I
Isaya budimu
7 years ago
Haina haja ya kuwa na nurses failer tunaitaji nurses qualified maana hao watauwa wagonjwa. Tukatae na kupinga hili.
K
Karimu nyeguye
7 years ago
Hapana, sioni haja ya kushusha vigezo vya udahiri, hivi kwanini madaktari wenyewe wasishushe? Kwani wao wapo wengi makazini na vyuoni??
E
Elia sichundwe
7 years ago
Hapana, kwa mapendekezo ya mabadiliko ya udahiri katika kada ya uuguzi
J
Joanitha kakuru Julius
7 years ago
Hapana
A
Aloyce majebele
7 years ago
It is possible
C
Collether Victor
7 years ago
Hiko kitu hakiwezakan mwisho wa siku itapelekea madhara makubwa pia Ni madharau makubwa it's impossible to accept such thing
F
Fatuma Juma
7 years ago
I don't think so if it is good idea coz nursing will loose its value, if the issue is scarcity of nurses in clinical field then waajiri wale nurses ambao hawana ajira had hivi tunavyozungumza
M
Martina
7 years ago
It's unacceptable and not health for the growth of our professional.the entry criteria should remain as ccc
C
Collether victor
7 years ago
Ndiyo
S
singu dotto
7 years ago
This issue should be avoided soon as possible
M
Mollel
7 years ago
Hapana haofai kabisa kushusha vigezo
R
RN
7 years ago
Kada imeanza kupata heshima, anataka avuruge tena! NO
E
evan
7 years ago
hapanaa
B
Bello ally
7 years ago
Noo,nursing is not for failling
R
Ruth kalua
7 years ago
Hapana
A
Anonymous
7 years ago
Vigezo vya kudahili wanafunzi wauguzi vibaki kama vikivyokua ( CCC). Ifike mahaki kada iheshimiwe
P
PASTORY MANGE
7 years ago
NO To this professional weakening.
S
Suzanne jeremiah
7 years ago
Marks za udahili zisipunguzwe badala take waendelee kuboresha mitaala
M
Mugisha
7 years ago
Kitu cha kwanza wanao turudisha nyuma ni baby boomers serikali iliangalie kwa makini.Jambo jingine serikali imetrain wauguzi na wakunga wengi lakin haitazam hata pesa nyingi imetumia graduators wengi saana mtaani.Jambo la kupunguza vigezo kwanza tuwaangalie vizur wanaosupport hili swala pengne na wao ndo hilo group na ni upuuzi kabisa.
I
Ibrahim Salim
7 years ago
Napendekeza waongeze alama za udahili ili kupata wataalamu wanaohitajika katika ngazi mbalimbali
Haina haja ya kuwa na nurses failer tunaitaji nurses qualified maana hao watauwa wagonjwa. Tukatae na kupinga hili.
Hapana, sioni haja ya kushusha vigezo vya udahiri, hivi kwanini madaktari wenyewe wasishushe? Kwani wao wapo wengi makazini na vyuoni??
Hapana, kwa mapendekezo ya mabadiliko ya udahiri katika kada ya uuguzi
Hapana
It is possible
Hiko kitu hakiwezakan mwisho wa siku itapelekea madhara makubwa pia Ni madharau makubwa it's impossible to accept such thing
I don't think so if it is good idea coz nursing will loose its value, if the issue is scarcity of nurses in clinical field then waajiri wale nurses ambao hawana ajira had hivi tunavyozungumza
It's unacceptable and not health for the growth of our professional.the entry criteria should remain as ccc
Ndiyo
This issue should be avoided soon as possible
Hapana haofai kabisa kushusha vigezo
Kada imeanza kupata heshima, anataka avuruge tena! NO
hapanaa
Noo,nursing is not for failling
Hapana
Vigezo vya kudahili wanafunzi wauguzi vibaki kama vikivyokua ( CCC). Ifike mahaki kada iheshimiwe
NO To this professional weakening.
Marks za udahili zisipunguzwe badala take waendelee kuboresha mitaala
Kitu cha kwanza wanao turudisha nyuma ni baby boomers serikali iliangalie kwa makini.Jambo jingine serikali imetrain wauguzi na wakunga wengi lakin haitazam hata pesa nyingi imetumia graduators wengi saana mtaani.Jambo la kupunguza vigezo kwanza tuwaangalie vizur wanaosupport hili swala pengne na wao ndo hilo group na ni upuuzi kabisa.
Napendekeza waongeze alama za udahili ili kupata wataalamu wanaohitajika katika ngazi mbalimbali