Skip to main content

Sema HAPANA kwa mapendekezo ya mabadiliko ya udahili katika kada ya Uuguzi.

279 Comments

A
Anonymous
7 years ago

No, visipungue bali waongeze vigezo ili thamani ya kada hii iongezeke zaidi.

A
Anonymous
7 years ago

No

M
Mariam
7 years ago

Alama zisipunguzwe

G
Goodluck
7 years ago

Hapana

Y
Yonah Nathanael
7 years ago

mimi ni intern nurse, Muhimbili. NAIKATAA!

P
Prosper
7 years ago

Hapana

A
Anonymous
7 years ago

Viongozi wametusaliti NACTE wameshatoa tangazo la D D D Hivyo uuguzi itakuwa jalala la failures

M
Mussa mabange
7 years ago

Ikiwezekana viwango vya udahili viongezeke

A
Anonymous
7 years ago

HAPANA

K
Kirway paul
7 years ago

Sikubaliani na maamuzi ya msajili wa wauguzi kupunguza vigezo vya udaili wa wanafunzi wa nursing kwan kupunguza vigezo kufanya professional yetu isiwe na watu wasiofaulu vzr na hakutakuwa na ufanisi kazini

M
Mrage hemedi
7 years ago

Am against that idea,grades shouldn't be lowerd,instead should be raised

M
Mabula abdalah
7 years ago

Haifai

A
Amiri Ramadhani
7 years ago

Kada yetu inashushwa hadhi kutokana na haya mabadiliko yasiyo na tija yanayofanywa kwa matakwa ya watu wachache acheni kuwakatisha tamaa vijana wanaokuja kwenye hii kada . Pia tokeni kweny maofisi yenu niny TANNA mkawasikilize na kuwasaidia mnaowaongoza hamuwez kuwaongoza watu mmekaa kweny ofisi zenu. Na mwisho shuhulikieni scheme of service(work) hayo ndio tunayotaka wauguzi sio haya ya marks yenye maslahi yenu binafsi

M
Michael
7 years ago

Hapana 100%

J
JOHN N SIMWANZA
7 years ago

Hapan

S
SAMWEL Isack
7 years ago

Hapana

J
JOHN N SIMWANZA
7 years ago

Hapan

M
Mcharo simon
7 years ago

M ningependa kuishauri serikali yetu ya elimu. 1. Wawe wa bunifu. Kivipi?? Kwa kuangalia ni wangap wauuguzi hawajaajiriwa wako mitaani wanatakiwa kuwatafutia kwanza waliokwisha kunaliza masomo wapate kazi ndipo waanze kuangalia swala ili lingine. 2. Sisi waauguz ndio mboni ya wagonjwa tukishindwa kuwasaidia wa gonjwa kwa knowledge zetu tutapoteza sana watu kwaiyo serikali iende na vile viwango vya kawaida vya kuingia vyuoni haswa vya taaluma zetu. Is my comment. By mcharo..

S
Salenge magembe
7 years ago

Jamani tuokoe wagonjwa kwnza kuliko kuwajali wanafunzi walio feli maana hii course ni ngumu hawata iweza. Hapana tupinge vikali

S
Secilia Revocatus
7 years ago

HAPANA