Skip to main content

Sema HAPANA kwa mapendekezo ya mabadiliko ya udahili katika kada ya Uuguzi.

279 Comments

R
Rose
7 years ago

Hapana. Hilo suala ni kushusha hadhi taaluma

A
Andrew Kapaya
7 years ago

Let’s stand for this profession

B
Baraka
7 years ago

HAPANA

K
Kilel Gilbert
7 years ago Featured

Iyooo hoja haina mantikii na sii scientific, in this current century tunahitajii quality sio quantity, kwanza watu waliopoo mtaani waliomaliza course ni wengii, waombee serekali watoe ajira sio kushusha qualification ya nursing.

H
HASSAN mashaka
7 years ago

It will weaken the image of our professional as a professional of failurers

N
Niteka Boniface Katelekwa
7 years ago

No

R
Rose Maila
7 years ago

Hapana

D
Diana Edward
7 years ago

Hapana

R
Rehema makali
7 years ago

Naunga hoja yakutobadilisha viwango vya udahili katka kanda ya uuguzi

E
Evelyne Mlokela
7 years ago

Comments HAPANA

R
Rachel olotu
7 years ago

I propose this issue because they affect my country and my fellow nurses in generall

A
Anonymous
7 years ago

Napinga hayo mabadiliko yanayodhoofisha kada yetu ya muuguzi

N
Nancy haule
7 years ago

Viwango vya ufaulu visishushwe

A
Anonymous
7 years ago

Hapana kushusha grade za kudaili wauguzi.

J
jesca philipo
7 years ago

Comments Naunga mkono hoja ya kukataa kubadilisha viwango vya udahili wanafunzi wanaochukua nursing kwa sababu tutarudi tulikotoka na tunaiangusha chini na kudhoofisha taaluma yetu ya uunguzi na ukunga

G
Geofrey Ulaya
7 years ago

Afya ni taasisi yenye kuhakikisha muendelezo wa uhai wa mwanadamu hivyo, wasiwekwe wasio na vigezo ili kujaza idadi tu.

C
CRESENSIA
7 years ago

Hapana grade zisishushwe jamani hiyo ndio itaonyesha thamani ya uuguzi ni ndogo

J
Justina
7 years ago

Naunga mkono kutoshusha viwango kwani tutarudi kuleee,tulikotoka ya kuwa wenye viwango vya chini vya ufaulu ndo wanajiunga uuguzi.Hii ni dhana potofu iliyoko katka jamii na karibia inaisha sasa tukishusha tena tunaanza tena upya Ieleweke kuwa uuguzi ni taaluma kama taaluma zingine na inaheshimika kwa hivo vigezo vya CCD,anayesema kuna upungfu Wa wauguzi awaajiri kwanza walioko mtaani.

E
Emanuel
7 years ago

HAPANA napinga ushushaji wa grades ni chanzo cha kuzorotesha taaluma ya uuguzi kwa kufanya muuguzi kukosa hadhi. Kwanza jambo hili lisiamuliwe kwasababu ya maslahi ya watu fulani.

A
Anonymous
7 years ago

Nilidhani ingezungumzika vigezo viwe kama vya medicine ili tupate ulinganifu na madai ya fani yanaweza sikilizwa kumbe imekua kinyumeee