Skip to main content

Sema HAPANA kwa mapendekezo ya mabadiliko ya udahili katika kada ya Uuguzi.

279 Comments

J
Joseph jinasa
7 years ago

Hapana kupunguza alama za udahili

S
Shabani iddy
7 years ago

Hapana kupunguza alama za udahili wa wauguz katika ngazi zote chet na astashahada.

H
Hilary
7 years ago

Napinga kauli ya kupunguza vigezo

A
Anonymous
7 years ago

HAPANA

A
Anonymous
7 years ago

Kwann alama zishushwe, kwa mtu kusajiliwa chuoni inabidi afikie alama kadhaa ikimaanisha mtu huyu kwa kada hii anafaaa ndio maana alama ziliwekwa, sio lwama alama zinawekwa ili kujaza watu vyuoni ifikie kipindi masilahi ya taasisi yasiwekwe kipaumbele kwenye kushusha hadhi ya taaluma zetu, ebu manesi tuamke

J
Joseph Samwel Ng'humba
7 years ago

Big NO. Faculty of nursing is not a course of failed students,,,

A
Agnes
7 years ago

We are in digital generation so we don't want such anolg information from those who are in centralization position they are supposed to put strategies on how we improve our nursing profession but in the issue of private institution they lack students,that is anolg thinking as per say

B
brown
7 years ago

i disagree with the issue of lowering nursing admission criteria

N
Nominee Abelian
7 years ago

wasifanye watu waone uuguzi ni ngazi Saiv inapaswa CC'D Then afterwards tung'ang'anie Job description kwa sasa

L
Leloo Anthony
7 years ago

Hili halikubalik hata kidogo, maslahi ya watu wachache yasitumike kuharibu muimarisho wa kitaalamu ya uuguzi ..tuwapinge vikali kabsa hawa

A
Adelina Lambert Kabakama
7 years ago

Sikubali mabadiliko katika kudaili wauguzi kwani watu wanaotaka hayo mabadikiko wana maslai yao binafsi.

M
muhenga gabriel
7 years ago

i say big no to liwer glades

K
Kaitaba faraja
7 years ago

Vigezo vya kujiunga na fani ya uuguzi visibadilishe kwa maendeleo ya fani.

Y
Yono Martin
7 years ago

For sure, it will bring negative picture and it will be considered as the profession for failures, both in schools and working enviroment. No political, lets care about our people.

R
Razaki Songolo
7 years ago

Kitu pekee wanachopaswa kukipigania ni maslahi mazuri ya wauguzi na mazingira rafiki ya kazi hii itavutia wanafunzi kuchagua uuguzi na ukunga na sio vigezo hafifu

E
Elibariki Msoka
7 years ago

Its memorandum of under standing!!!!!!

F
Frank Lwehela
7 years ago

HATUWEZI KUSHUSHA UFAULU,HAPA TUTAKUWA TUNATENGEZA WAUGUZI WA AINA GANI?? NDIO MAANA HII FANI WANAICHUKULIA KAMA DUMPING SITE. VERY BIG NOOO!! HAKUNA KUSHUSHA UFAULU,LABDA WAONGEZE.

O
Osmundy mkanula
7 years ago

Hapana

N
Nice
7 years ago

No

S
Shija Machiya
7 years ago

Biashara ya kuuza wanafunzi kwa vyuo binafsi ifike mwisho! Washushe Ada na siyo vigezo!!