KIGAMBONI-KIDETE INASEMA HAPANA KWA BANDARI KAVU!!!!
71 Comments
E
Eng.Ernest Sollo
1 day ago
1:Miundombinu iliyopo haiwezi kukidhi malori yenye mizigo mfululizo.
2:Kwenye mipango mji,hakuna sehem kuna plan ya kuwa na ICD kigamboni.
3:Nin kimefanyika cha tofaut kuhost ICD hii?(Kubadili matumiz ya ardhi)
4:Report ya mazingira ipo wapi kabla ya mradi??
5:Athari kwa jamii tunaziepuka kwa namna gani,msongamano,Usalama wa watoto,Miundombinu zilizopo(barabara,njia za maji nk.)
6:Walioidhinisha huu mradi tuna uhakika ni wakazi wa kigamboni?mbona kama kuna viashiria vyakuwashirikisha Takuru
O
Omari Kaukuya
1 day ago
Napinga uwepo wa bandari kavu (ICD) kibugumo kwa kuwa eneo hilo sio rafiki kwa shighuli izo za bandari kavu kutokana na shughuli za kijamii zilizopo eneo hilo, kama vile:-
1. Uwepo wa shule za secondary na msingi kwenye eneo hilo. Kaka hilo kuna shule 2 za secondary ambazo zipo umbali wa wastani mita 100 kutoka kwenye eneo ambalo linakusudiwa kujengwa ICD na uwepo wa shule ya msingi kwa umbali mita 50 kutoka kwenye eneo hilo.
2. Ni eneo ambalo limezungukwa na makazi ya watu
G
George Mathias
1 day ago
Mimi ni mkazi wa kigamboni, ninapinga mabadiliko ya matumizi ya viwanja hivyo kutokana na athari za kiafya na kijamii zitakazoweza kutokana na ujenzi wa bandari kavu eneo la makazi ya watu.
J
Jafari Ibrahim
1 day ago
It will cause unnecessary congestion to residential area while there is a reservation for dry port at Kwala still unused
A
Abdallah MGWAMI
1 day ago
kwa uimara na ustawi wa jamii husika hususani kupinga kadhia zinazokuja na uwepo wa ICD kwenye maeneo ya makazi.
J
John Yahya
1 day ago
Eneo husika halina miundombinu sahihi kwa ajili ya ICD
P
PROS KWEKA
1 day ago
Miundombinu si rafiki kwa ICD pia ni eneo la makaazi kuweka ICD kunahatarisha usalama wa watoto
T
Tuntufye Mwaiteleke
1 day ago
Barabara za kigamboni haziwezi kumudu ejenzi mwingine wa bandari kavu. Tunaombwa waende Buyuni
J
Joram Mtemvu
1 day ago
1. Bandari kavu itapelekea msongamo wa magari kwenye babara zote zinazotoka bandari kuu hadi bandari kavu inayolengwa kujengwa kutokana na wingi wa malori yanayotembea taratibu na kuegeshwa barabarna hivyo kuathiri usafiri na shughuli za kiuchumi na kijamii.
2. Wanafunzi wa shule zilizopo jirani watakosa utulivu na usalama kutokana na kuongezeka shughuli mbalimabali zitakazoletwa na kuwepo kwa bandari kavu katika eneo hilo pamoja magari yatayokuwa yanapita eneo hilo.
S
Sabina Luoga
1 day ago
The must be proper traffic management plan
H
Hamad Hamad
1 day ago
Ok
K
Kelvin John
1 day ago
Mwekezaji alikubali kujenga ukuta kwenye shule, Majirani tuache roho mbaya huu Mradi utalutea Ajira na hata mapato hapa Halmashauri kwani mapato yetu bado ni madogo, mwacheni afanye uwekezaji tuinataka
I
Ibrahim Benjamin
1 day ago
Eneo la makazi
Barabara changamoto
Eneo la karibu na shule ni hatari kwa watoto
M
MOSES ZAHORO
1 day ago
Near the school
H
Hosea MWAKYOMA
1 day ago
Sio sehemu sahihi ya Kujenga BANDARI KAVU.
L
Lemky Ally
1 day ago
Hivi ICD kwa Kigamboni kwa nini zisipelekwe kujengwa kwenye maeneo ya vinwanda huku Kisarawe II na Mwasonga ndiko kwenye maeneo makubwa na yalio wazi kwa shughuli hizo sio kwenye maeneo yenye makaazi ya watu ,,, hasa hapo Kibugumo kuna shule tatu(3), hapo kwenda kuharibu watoto wa shule hizo
Y
Yahaya Baraka Mlavwasi
1 day ago
Ifike mahali maeneo ya makazi yabaki kuwa maeneo ya makazi,hizi huduma za bandari zitengewe eneo na barabara yake
R
Rahma JABEY
1 day ago
binafsi ninapinga ujenzi wa Bandari kavu kwasabu itaongeza msomangamo wa magari kutokana na ufinyu wa barabara pia ni hatarishi kwa wakazi hata hivyo changamoto usalama wa utakuwa hatarini
M
Macdona Masali
1 day ago
Hatutaki kero kwenye makazi. Pelekeni Kwara
M
Melania Mlelwa
1 day ago
I sign, in support of this petition, as a land owner in the Kidete community.
The proposed develpment site is located within a residential area, with multiple schools, and hospital. This location is not suitable for the construction of a large sale, commercial land depot.
Heavy goods vehicles will cause a hazard to children travelling to school, unaccetable road congestion, noise pollution, air polution and enviromental damage.
Such a development should be relocated outside the city.
1:Miundombinu iliyopo haiwezi kukidhi malori yenye mizigo mfululizo. 2:Kwenye mipango mji,hakuna sehem kuna plan ya kuwa na ICD kigamboni. 3:Nin kimefanyika cha tofaut kuhost ICD hii?(Kubadili matumiz ya ardhi) 4:Report ya mazingira ipo wapi kabla ya mradi?? 5:Athari kwa jamii tunaziepuka kwa namna gani,msongamano,Usalama wa watoto,Miundombinu zilizopo(barabara,njia za maji nk.) 6:Walioidhinisha huu mradi tuna uhakika ni wakazi wa kigamboni?mbona kama kuna viashiria vyakuwashirikisha Takuru
Napinga uwepo wa bandari kavu (ICD) kibugumo kwa kuwa eneo hilo sio rafiki kwa shighuli izo za bandari kavu kutokana na shughuli za kijamii zilizopo eneo hilo, kama vile:- 1. Uwepo wa shule za secondary na msingi kwenye eneo hilo. Kaka hilo kuna shule 2 za secondary ambazo zipo umbali wa wastani mita 100 kutoka kwenye eneo ambalo linakusudiwa kujengwa ICD na uwepo wa shule ya msingi kwa umbali mita 50 kutoka kwenye eneo hilo. 2. Ni eneo ambalo limezungukwa na makazi ya watu
Mimi ni mkazi wa kigamboni, ninapinga mabadiliko ya matumizi ya viwanja hivyo kutokana na athari za kiafya na kijamii zitakazoweza kutokana na ujenzi wa bandari kavu eneo la makazi ya watu.
It will cause unnecessary congestion to residential area while there is a reservation for dry port at Kwala still unused
kwa uimara na ustawi wa jamii husika hususani kupinga kadhia zinazokuja na uwepo wa ICD kwenye maeneo ya makazi.
Eneo husika halina miundombinu sahihi kwa ajili ya ICD
Miundombinu si rafiki kwa ICD pia ni eneo la makaazi kuweka ICD kunahatarisha usalama wa watoto
Barabara za kigamboni haziwezi kumudu ejenzi mwingine wa bandari kavu. Tunaombwa waende Buyuni
1. Bandari kavu itapelekea msongamo wa magari kwenye babara zote zinazotoka bandari kuu hadi bandari kavu inayolengwa kujengwa kutokana na wingi wa malori yanayotembea taratibu na kuegeshwa barabarna hivyo kuathiri usafiri na shughuli za kiuchumi na kijamii. 2. Wanafunzi wa shule zilizopo jirani watakosa utulivu na usalama kutokana na kuongezeka shughuli mbalimabali zitakazoletwa na kuwepo kwa bandari kavu katika eneo hilo pamoja magari yatayokuwa yanapita eneo hilo.
The must be proper traffic management plan
Ok
Mwekezaji alikubali kujenga ukuta kwenye shule, Majirani tuache roho mbaya huu Mradi utalutea Ajira na hata mapato hapa Halmashauri kwani mapato yetu bado ni madogo, mwacheni afanye uwekezaji tuinataka
Eneo la makazi Barabara changamoto Eneo la karibu na shule ni hatari kwa watoto
Near the school
Sio sehemu sahihi ya Kujenga BANDARI KAVU.
Hivi ICD kwa Kigamboni kwa nini zisipelekwe kujengwa kwenye maeneo ya vinwanda huku Kisarawe II na Mwasonga ndiko kwenye maeneo makubwa na yalio wazi kwa shughuli hizo sio kwenye maeneo yenye makaazi ya watu ,,, hasa hapo Kibugumo kuna shule tatu(3), hapo kwenda kuharibu watoto wa shule hizo
Ifike mahali maeneo ya makazi yabaki kuwa maeneo ya makazi,hizi huduma za bandari zitengewe eneo na barabara yake
binafsi ninapinga ujenzi wa Bandari kavu kwasabu itaongeza msomangamo wa magari kutokana na ufinyu wa barabara pia ni hatarishi kwa wakazi hata hivyo changamoto usalama wa utakuwa hatarini
Hatutaki kero kwenye makazi. Pelekeni Kwara
I sign, in support of this petition, as a land owner in the Kidete community. The proposed develpment site is located within a residential area, with multiple schools, and hospital. This location is not suitable for the construction of a large sale, commercial land depot. Heavy goods vehicles will cause a hazard to children travelling to school, unaccetable road congestion, noise pollution, air polution and enviromental damage. Such a development should be relocated outside the city.