Skip to main content

Sema HAPANA kwa mapendekezo ya mabadiliko ya udahili katika kada ya Uuguzi.

279 Comments

F
Felister Felix Makendi
7 years ago

Hapana,,,huko Ni kuuwa taaluma...tunarudi tulikotoka

A
Ayoub charles
7 years ago

Hapana kushusha vigezo vya udahili

P
Petro Lazaro
7 years ago

Hapana

J
Juma ramadhan
7 years ago

Tuwe na maono juu ya taaluma yetu,ninasikitishwa sana vikao vya wauguzi, msemaji mkuu ni daktari .....

D
Daudi
7 years ago

Binafsi Kama muuguzi nnaejitambua NASEMA HAPANA sikubaliani na issue ya kupunguza vigezo vya udahili

H
Hezron yuda
7 years ago

Nasema hyo kauli ni hapana

L
lidya
7 years ago

No

T
Tonny james
7 years ago

kama tutakubaliana na mapendekezo basi ya msajili basis tutakuwa tumeruhusu kitu hatari sana kweny taaluma hii ya uuguzi.

R
Rukia Salim
7 years ago

Siafiki kilichozungumzwa kuhusu udahili.

Y
yona amon
7 years ago

HAPANA

S
Stephen brown
7 years ago

Hapana kushusha vigezo n kuua taaluma

K
Kanaeli Uriyo
7 years ago

Tunahitaji kupata wauguzi watakaotokana na uelewa mzuri wa sayansi ya utabibu na ukuaji wake. Tuhimize ufaulu wa juu wa masomo hayo tangu awali kwa wanajiunga na fani ya uuguzi.

M
Mganyizi Philbert
7 years ago

Siungi mkono hoja ya msajili

P
Peter Shirima
7 years ago

This is not a professional for failures.... disgusting...

A
Anonymous
7 years ago

I really disagree with registrers discussions

G
GOODLUCK GERVAS
7 years ago

No to change in entry requirements in nursing professional

V
Venance kahindi
7 years ago

Haiwezekani , napinga na ningependekeza viongezwe

V
Venance kahindi
7 years ago

Haiwezekani , napinga na ningependekeza viongezwe

A
Amina Said
7 years ago

Sikubaliani na mapendekezo