Skip to main content

Status: Closed — this petition is no longer accepting signatures.

Uchaguzi Konferensi ya Kusini Mashariki Tanzania (SEC)

Uchaguzi Konferensi ya Kusini Mashariki Tanzania (SEC)

Closed — 24 supporters Verified

Final supporters

S
Someone
J
James J.
W
Wasanda J.
M
Moshi Z.
G
Geofrey K.
M
Mjemah
F
Faustin M.
M
Msafiri
F
Fadhili G.
N
Nathan Y.
+14 more
DM
Started by Daniel Mutani 3 years, 11 months ago

Uongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Konferensi ya Kusini Mashariki mwa Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu tar 09-11/11/2022. Ili kufanyika mkutano, kunahitajika uwakilishi wa wajumbe toka katika makanisa mbalimbali. Katika barua toka konferensi kwenda makanisani kwa ajili ya kutoa wajumbe, iliyapangia makanisa kutoa uwakilishi wa mjumbe mmoja na kuyapangia ni jinsia ya namna gani inahitajika, kinyume kabisa na katiba yake (SEC) na mwongozo wa kanisa toleo 19 Kiswahili sahihisho la 2015, ukurasa wa 125. Hivyo basi, kama mmoja wa mshiriki wa SEC tunaomba uorodheshe jina lako ili tulijumuishe kwenye barua itakayowasilishwa SEC na kwa msajili ili katiba na taratibu ya kanisa ya uchaguzi izingatiwe

24 Comments

F
Fadhili Gasper
3 years ago Featured

Hii haiko sawa uchaguzi gani mtu wanachagua jinsia kabisa kanisa lina washiriki 1200 linaambiwa lipeleke mtu mmoja Tena mwanamke jaman

D
David Yasson
3 years ago Featured

Haikubaliki kutoa matangazo ya mkutano mkuu yakiwa na maelekezo ya kuchagua wajumbe kwa sifa za jinsia na Umri Mwongozo wa kanisa hauna hayo maelekezo, (rejea Sura ya 9: Uchaguzi – Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Konferensi: Kuchagua Wajumbe, Uk 125) – “Mpango wa Mungu ni kwamba wachaguliwe wajumbe waaminifu waliojaribiwa na kuthibitishwa, “wanaoweza kuangalia jambo toka chanzo hadi athari zake,” kwani inawapasa kuweka mipango itakayofuatwa katika kuendeleza kazi.” hii ni ishara ya kampeni na kutia unajisi mkutano mkuu wa konferensi.

A
Anonymous
3 years ago

Tuheshimu Mutingozo wa Kanisa (katiba ambayo ndiyo inayotambulika kisheria.)

J
James John
3 years ago

Uchanguzi bora ni ulehunaofata taratibu za kikanuni zilizoweka chakusikitisha wale tuliowapa dhamana ya kuongoza ndo wakwanza kuvunja kanuni zilizowekwa viongozi. SEC fateni kanuni ya kanisa

W
Wasanda Jackson
3 years ago

Hawafanyi haki

M
Moshi Zakaria wa Chang'ombe SDA CHURCH
3 years ago

Naomba kufuata mwongozo wa kanisa na katiba ya SEC na Working policy.

G
Geofrey Karogo
3 years ago

Tufuate muongozo wetu wa kanisa na tuuheshimu.

M
Mjemah
3 years ago

Sikubaliani na mfumo unao tumika nje ya kanuni