Status: Closed — this petition is no longer accepting signatures.
Final supporters
Uongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Konferensi ya Kusini Mashariki mwa Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu tar 09-11/11/2022. Ili kufanyika mkutano, kunahitajika uwakilishi wa wajumbe toka katika makanisa mbalimbali. Katika barua toka konferensi kwenda makanisani kwa ajili ya kutoa wajumbe, iliyapangia makanisa kutoa uwakilishi wa mjumbe mmoja na kuyapangia ni jinsia ya namna gani inahitajika, kinyume kabisa na katiba yake (SEC) na mwongozo wa kanisa toleo 19 Kiswahili sahihisho la 2015, ukurasa wa 125. Hivyo basi, kama mmoja wa mshiriki wa SEC tunaomba uorodheshe jina lako ili tulijumuishe kwenye barua itakayowasilishwa SEC na kwa msajili ili katiba na taratibu ya kanisa ya uchaguzi izingatiwe
More like this
No related petitions found.
24 Comments
Haikubaliki kutoa matangazo ya mkutano mkuu yakiwa na maelekezo ya kuchagua wajumbe kwa sifa za jinsia na Umri Mwongozo wa kanisa hauna hayo maelekezo, (rejea Sura ya 9: Uchaguzi – Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Konferensi: Kuchagua Wajumbe, Uk 125) – “Mpango wa Mungu ni kwamba wachaguliwe wajumbe waaminifu waliojaribiwa na kuthibitishwa, “wanaoweza kuangalia jambo toka chanzo hadi athari zake,” kwani inawapasa kuweka mipango itakayofuatwa katika kuendeleza kazi.” hii ni ishara ya kampeni na kutia unajisi mkutano mkuu wa konferensi.
Tuheshimu Mutingozo wa Kanisa (katiba ambayo ndiyo inayotambulika kisheria.)
Uchanguzi bora ni ulehunaofata taratibu za kikanuni zilizoweka chakusikitisha wale tuliowapa dhamana ya kuongoza ndo wakwanza kuvunja kanuni zilizowekwa viongozi. SEC fateni kanuni ya kanisa
Hawafanyi haki
Naomba kufuata mwongozo wa kanisa na katiba ya SEC na Working policy.
Tufuate muongozo wetu wa kanisa na tuuheshimu.
Sikubaliani na mfumo unao tumika nje ya kanuni
Share this petition
Share this petition to help it reach more people.
Your share link
Couldn't copy automatically. Long-press to copy:
Status: Closed — this petition is no longer accepting signatures.
Final supporters
Uongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Konferensi ya Kusini Mashariki mwa Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu tar 09-11/11/2022. Ili kufanyika mkutano, kunahitajika uwakilishi wa wajumbe toka katika makanisa mbalimbali. Katika barua toka konferensi kwenda makanisani kwa ajili ya kutoa wajumbe, iliyapangia makanisa kutoa uwakilishi wa mjumbe mmoja na kuyapangia ni jinsia ya namna gani inahitajika, kinyume kabisa na katiba yake (SEC) na mwongozo wa kanisa toleo 19 Kiswahili sahihisho la 2015, ukurasa wa 125. Hivyo basi, kama mmoja wa mshiriki wa SEC tunaomba uorodheshe jina lako ili tulijumuishe kwenye barua itakayowasilishwa SEC na kwa msajili ili katiba na taratibu ya kanisa ya uchaguzi izingatiwe
24 Comments
Hii haiko sawa uchaguzi gani mtu wanachagua jinsia kabisa kanisa lina washiriki 1200 linaambiwa lipeleke mtu mmoja Tena mwanamke jaman
Haikubaliki kutoa matangazo ya mkutano mkuu yakiwa na maelekezo ya kuchagua wajumbe kwa sifa za jinsia na Umri Mwongozo wa kanisa hauna hayo maelekezo, (rejea Sura ya 9: Uchaguzi – Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Konferensi: Kuchagua Wajumbe, Uk 125) – “Mpango wa Mungu ni kwamba wachaguliwe wajumbe waaminifu waliojaribiwa na kuthibitishwa, “wanaoweza kuangalia jambo toka chanzo hadi athari zake,” kwani inawapasa kuweka mipango itakayofuatwa katika kuendeleza kazi.” hii ni ishara ya kampeni na kutia unajisi mkutano mkuu wa konferensi.
Tuheshimu Mutingozo wa Kanisa (katiba ambayo ndiyo inayotambulika kisheria.)
Uchanguzi bora ni ulehunaofata taratibu za kikanuni zilizoweka chakusikitisha wale tuliowapa dhamana ya kuongoza ndo wakwanza kuvunja kanuni zilizowekwa viongozi. SEC fateni kanuni ya kanisa
Hawafanyi haki
Naomba kufuata mwongozo wa kanisa na katiba ya SEC na Working policy.
Tufuate muongozo wetu wa kanisa na tuuheshimu.
Sikubaliani na mfumo unao tumika nje ya kanuni
Share this petition
Share this petition to help it reach more people.
Your share link
Couldn't copy automatically. Long-press to copy:
Looking for similar causes?
Browse similar petitionsScan to share
Anyone who scans this can sign the petition.
Hii haiko sawa uchaguzi gani mtu wanachagua jinsia kabisa kanisa lina washiriki 1200 linaambiwa lipeleke mtu mmoja Tena mwanamke jaman