TAMKO:
Sisi, raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tunatumia haki yetu ya Kikatiba kutoa maoni yetu, kuhusu kitendo kiovu cha Serikali kuzuia matangazo ya moja kwa moja ya vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama ifuatavyo:
- Kwa kuwa, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 18-2, inayosema "Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii",
- Kwa kuwa, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 8(1)-a "wananchi ndio msingi wa MAMLAKA YOTE na Serikali itapata madaraka na mamlaka yake yote kutoka kwa wananchi kwa mujubu wa Katiba hii",
- Na kwa kuwa, kwa mujibu wa Katiba hii, "Ibara ya 8(1)-c, Serikali itawajibika kwa wananchi", na "(d) wananchi watashiriki katika shughuli za Serikali yao kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii",
Tunatoa tamko lifuatalo:
- Serikali imekiuka masharti ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwanyima wananchi haki yao ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali mchini na duniani ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia, juu ya masuala muhimu kwa jamii, HUSUSAN matangazo ya moja kwa moja ya Vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Serikali imetoa kisingizio kwamba gharama za matangazo hayo ni Shilingi za Tanzania Bilioni 4 kwa mwaka, lakini imekataa kupokea michango ya gharama hizo kutoka kwa wananchi, bila kutoa sababu za kuridhisha, hata pale ambapo baadhi ya vyombo vya habari nchini vilipojitolea kubeba gharama hizo moja kwa moja na kutangaza matangazo hayo
Sisi Wananchi, raia wa Tanzania, tumeamua kufanya yafuatayo:
- Tutaaacha kununua magazeti yanayochapishwa na vyombo vya habari vinavyosimamiwa na Serikali
- Tutaacha kusikiliza vituo vya redio na luninga vinavyoendeshwa na Serikali
- Tutafanya hivi kwa kipindi kisichopungua siku 30, baada ya muda usiopungua saa 72, ambazo tunaitaka Serikali iwe imerejesha mfumo wa matangazo ya moja kwa moja kupitia kituo cha luninga cha TBC1, ambacho kinaendeshwa kwa kodi za wananchi, yaani SISI, ambao kwa mujibu wa Katiba "ndio msingi wa MAMLAKA YOTE"!
Serikali yet IMEASI. Imetunyanyasa vya kutosha, imetupuuza vya kutosha, sasa tunasema, hatutanyanyaswa tena na hatutapuuzwa vya kutosha.
HITIMISHO:
Iwapo maendeleo ya kweli yanapaswa kufanyika, ni lazima wananchi wahusishwe! - Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Updates
May 4, 2016
The government continues to ignore our constitutional right to access parliamentary proceedings. Call your local representative today and demand they push for the restoration of live broadcasts.
May 4, 2016
The momentum behind this demand for transparency proves that the public will not accept being kept in the dark. Call your local representative today and demand they push for the return of live parliamentary coverage.
25 Comments
Ni haki ya kila Mtanzania kuonyeshwa Shughuli za bunge live ili kujua ni jinsi gani viongozi aliowachagua wanafanya kazi na jinsi gani kodi yake inatumika katika kuleta maendeleo.
Serikali imetoa kisingizio kwamba gharama za matangazo hayo ni Shilingi za Tanzania Bilioni 4 kwa mwaka, lakini imekataa kupokea michango ya gharama hizo kutoka kwa wananchi, bila kutoa sababu za kuridhisha, hata pale ambapo baadhi ya vyombo vya habari nchini vilipojitolea kubeba gharama hizo moja kwa moja na kutangaza matangazo hayo huu ni ukandamizaji wa haki za raia kwa mujibu wa katika usiopaswa kumbiwa macho.
Tunahitaji uhuru wa vyombo vya habari kuzuia Bunge kurushwa live ni ukandamizaji
Ningependa sana kujua wa wakilishi wetu wanafanya nini, Je? kazi tuliyo watu wanatekeleza? nini mustakabali wa serikali kwa miaka 5 ijayo?
#bunge_live
Tunataka kuona live na tujuwe ni wapi nchi inaharibika kwa makusudi ya baadhi ua viongozi
#bunge_live
Sign Petition
We never post to your account. Social sign-in is used only to verify your signature.
Add a comment?
Your signature will be added via . Tell others why you're signing — it's optional.
By signing, you accept iPetitions Terms of Service and Privacy Policy.
Share Petition
Don't stop at signing, share the petition link with friends to multiply our impact
Copy link or share directly
TAMKO:
Sisi, raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tunatumia haki yetu ya Kikatiba kutoa maoni yetu, kuhusu kitendo kiovu cha Serikali kuzuia matangazo ya moja kwa moja ya vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama ifuatavyo:
- Kwa kuwa, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 18-2, inayosema "Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii",
- Kwa kuwa, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 8(1)-a "wananchi ndio msingi wa MAMLAKA YOTE na Serikali itapata madaraka na mamlaka yake yote kutoka kwa wananchi kwa mujubu wa Katiba hii",
- Na kwa kuwa, kwa mujibu wa Katiba hii, "Ibara ya 8(1)-c, Serikali itawajibika kwa wananchi", na "(d) wananchi watashiriki katika shughuli za Serikali yao kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii",
Tunatoa tamko lifuatalo:
- Serikali imekiuka masharti ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwanyima wananchi haki yao ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali mchini na duniani ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia, juu ya masuala muhimu kwa jamii, HUSUSAN matangazo ya moja kwa moja ya Vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Serikali imetoa kisingizio kwamba gharama za matangazo hayo ni Shilingi za Tanzania Bilioni 4 kwa mwaka, lakini imekataa kupokea michango ya gharama hizo kutoka kwa wananchi, bila kutoa sababu za kuridhisha, hata pale ambapo baadhi ya vyombo vya habari nchini vilipojitolea kubeba gharama hizo moja kwa moja na kutangaza matangazo hayo
Sisi Wananchi, raia wa Tanzania, tumeamua kufanya yafuatayo:
- Tutaaacha kununua magazeti yanayochapishwa na vyombo vya habari vinavyosimamiwa na Serikali
- Tutaacha kusikiliza vituo vya redio na luninga vinavyoendeshwa na Serikali
- Tutafanya hivi kwa kipindi kisichopungua siku 30, baada ya muda usiopungua saa 72, ambazo tunaitaka Serikali iwe imerejesha mfumo wa matangazo ya moja kwa moja kupitia kituo cha luninga cha TBC1, ambacho kinaendeshwa kwa kodi za wananchi, yaani SISI, ambao kwa mujibu wa Katiba "ndio msingi wa MAMLAKA YOTE"!
Serikali yet IMEASI. Imetunyanyasa vya kutosha, imetupuuza vya kutosha, sasa tunasema, hatutanyanyaswa tena na hatutapuuzwa vya kutosha.
HITIMISHO:
Iwapo maendeleo ya kweli yanapaswa kufanyika, ni lazima wananchi wahusishwe! - Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Updates
May 4, 2016
The government continues to ignore our constitutional right to access parliamentary proceedings. Call your local representative today and demand they push for the restoration of live broadcasts.
May 4, 2016
The momentum behind this demand for transparency proves that the public will not accept being kept in the dark. Call your local representative today and demand they push for the return of live parliamentary coverage.
25 Comments
Ikiwa wananchi hatuwezi kufuatilia mchakato wa bajeti ya taifa, serikali itawezaje kutushirikisha katika utekelezaje wake? Huu ni mwanzo wa serikali kususiwa na wananchi katika mipango yake.
Ni haki ya kila Mtanzania kuonyeshwa Shughuli za bunge live ili kujua ni jinsi gani viongozi aliowachagua wanafanya kazi na jinsi gani kodi yake inatumika katika kuleta maendeleo.
Serikali imetoa kisingizio kwamba gharama za matangazo hayo ni Shilingi za Tanzania Bilioni 4 kwa mwaka, lakini imekataa kupokea michango ya gharama hizo kutoka kwa wananchi, bila kutoa sababu za kuridhisha, hata pale ambapo baadhi ya vyombo vya habari nchini vilipojitolea kubeba gharama hizo moja kwa moja na kutangaza matangazo hayo huu ni ukandamizaji wa haki za raia kwa mujibu wa katika usiopaswa kumbiwa macho.
Tunahitaji uhuru wa vyombo vya habari kuzuia Bunge kurushwa live ni ukandamizaji
Ningependa sana kujua wa wakilishi wetu wanafanya nini, Je? kazi tuliyo watu wanatekeleza? nini mustakabali wa serikali kwa miaka 5 ijayo?
#bunge_live
Tunataka kuona live na tujuwe ni wapi nchi inaharibika kwa makusudi ya baadhi ua viongozi
#bunge_live
Help this petition grow
Share it with friends to help reach 50 signatures.
Sign Petition
We never post to your account. Social sign-in is used only to verify your signature.
Add a comment?
Your signature will be added via .
Tell others why you're signing — it's optional.
Signing with Google or Facebook verifies your signature instantly — no email needed.
By signing, you accept iPetitions Terms of Service and Privacy Policy.
Share Petition
Don't stop at signing, share the petition link with friends to multiply our impact
Petitions like this
Other petitions you might want to support
Make your voice count today!
Scan to share
Anyone who scans this can sign the petition.
Ikiwa wananchi hatuwezi kufuatilia mchakato wa bajeti ya taifa, serikali itawezaje kutushirikisha katika utekelezaje wake? Huu ni mwanzo wa serikali kususiwa na wananchi katika mipango yake.