Powered by iPetitions - Start your online petition now

Signatures 3630 total

Page: 1, 2, 3, 4, ... 73 »

  1. 1
    Name: Anonymous on May 30, 2007
    Comments: hatukubali, kuonewa no more!
    Flag
  2. 2
    Name: Anonymous on May 30, 2007
    Comments: Mpka kieleweke
    Flag
  3. 3
    Name: Anonymous on May 30, 2007
    Comments: Hatutaki. Hell No. Wizi huu ni wa kijinga, pelekeni bongo na sio ulaya. Teseni wajinga bongo lakini sio ulaya. Kama mnang'ang'aniza, tutatumia sheria, ubabe na nguvu kuteketeza hiyo biashara. Tutabeba mabango, hadi balozi ataondoka hapa. Hatutaki mchezo. Wajinga wakubwa, fools, fisi, tamaa nyingi, mnatia kichefuchefu.
    Flag
  4. 4
    Name: Anonymous on May 31, 2007
    Comments: Ukweli ni kuwa huyo ABUU naye anakula na yumo kwenye dili na akina CHANDE sasa huuu ni wizi na hatukubali.......
    Flag
  5. 5
    Name: Anonymous on May 31, 2007
    Comments: hILI SUALA INABIDI LIANGALIWE UPYA
    Flag
  6. 6
    Name: Yona Maro on May 31, 2007
    Comments:
    Flag
  7. 7
    Name: Kitila Mkumbo on May 31, 2007
    Comments: Tafadhali mpango huu usimamishwe mara moja. Hauna manufaa kwa nchi yetu na wala watanzania waishio Uingereza.
    Flag
  8. 8
    Name: Chief on Jun 1, 2007
    Comments: PAmoja na kwamba siishi Uingereza, nami napinga kwa nguvu zote aina hii ya Mkataba kwa WTM US. Hii ndio kupeana kula tu, kama mkataba wa kutengeneza Number Plates hapa Bongo
    Flag
  9. 9
    Name: Anonymous on Jun 1, 2007
    Comments: Mipango ilikuwa mizuri lakini,Makosa yamefanyika undugu Ubongo mansahau kwetu kule
    Flag
  10. 10
    Name: Frank Mugogo on Jun 1, 2007
    Comments: Nawashukuru Watanzania waishio Uingereza kwa kutetea haki za Watanzania wote.Tunawapongeza kwa kuona makosa mapema na kusimamia haki kwa dhati
    Flag
  11. 11
    Name: SAIDI YAKUBU on Jun 1, 2007
    Comments: Tunapinga kwa nguvu zote mkataba huu ambao hakika hausaidii lolote. Vigezo vya kuipa kampuni hii mkataba havieleweki, ni kampuni changa isiyo na hadhi ya mkataba mzito kama huu. Kuna walakini katika hili, tunaomba wahusika serikali kuu waufute na kuweka taratibu zinazoeleweka.
    Flag
  12. 12
    Name: DRWHO on Jun 1, 2007
    Comments: Napinga hili suala na hata kama wakifanya kila gari 50p nitaendelea kulipinga kwani hilo ni jasho langu na sikubaliani na jinsi wanavyotaka pesa yangu bure bure tuu Vile vile naamini UBALOZI WETU LONDON haukubaliani na hili
    Flag
  13. 13
    Name: Anonymous on Jun 1, 2007
    Comments: Napinga hili suala na hata kama wakifanya kila gari 50p nitaendelea kulipinga kwani hilo ni jasho langu na sikubaliani na jinsi wanavyotaka pesa yangu bure bure tuu Vile vile naamini UBALOZI WETU LONDON haukubaliani na hili
    Flag
  14. 14
    Name: Alex Michael on Jun 1, 2007
    Comments: i agree this thing is dodgy
    Flag
  15. 15
    Name: Anonymous on Jun 1, 2007
    Comments: no kwa WTM kwani hawana msingi wala utaalamu wowote na hata hivyo sheria ilitakiwa kutoka bungeni. beside that wote tunajua MOT ya UK ni ya kweli na ni computerised na hamna anayeweze kuibia kwani UK gov. haina mchezo. halafu hao wanacharge
    Flag
  16. 16
    Name: Jimmy Baker on Jun 1, 2007
    Comments: Zoezi zima ni ovyo kabisa, kuanzia taratibu, utoaji wa tenda, kuhabarishwa jamii, nk, nadhani tuna vyombo vya sheria kama bunge ambavyo lazima vikae kutoa maamuzi kama haya na wananchi wpewe habari katika muda tosha kabla ya zoezi kuanza, Mh, Rais tafadhali ingilia kati hili jambo lishawekwa uani na malalamiko na vilio unavisikia, kama ni kupigana na rushwa na kurudisha imani kwa wananchi zoezi zima lifanyiwe marekebisho kwa mujibu wa sheria za nchi na iwe kwa magari yote yaingiayo Tanzania sio sheria moja kwa UK nyengine kwa Japan, USA nk. Mungu ibariki Tanzania.
    Flag
  17. 17
    Name: Mkereketwa, Mpenda HAKI on Jun 1, 2007
    Comments: Seriously, NO LOGIC @ all...Lets STRIKE.
    Flag
  18. 18
    Name: Mtatifikolo on Jun 2, 2007
    Comments: Huu ni wizi wa mchana tena ni ujambazi. Huyu bwana mdogo anayejiita Abu Faraja kama kazi imemshinda hapa UK basi arudi Tanzania. Kila mtu anatafuta riziki na wala si vyema mtu kuiba riziki ya mtu, ni vyema kutafuta kazi halali. Siko tayari hata kwa risasi kulipa paund 100 zangu kwa wapumbavu na wezi hawa. Magari hapa yanakaguliwa kwa kiwango cha hali ya juu sana kulinganisha na sehemu nyingine yoyote duniani. Leo iweje tena tukawalipe watu pesa ambayo tunaitafuta kwa shida hapa UK. Hivi kweli Serikali yetu ndiyo imetoa kauli hii ama ni kikundi cha wahuni kupitia kwa bwana mdogio Abu kinataka kutukamua jasho letu. Niko tayari kwenda Dodoma wakati wa kikao cha bunge na kuonana na waziri anayehusika na hili jambo na hata ikibidi kumwona Raisi basi nitafanya hivyo. Nina amini kabisa hii si amri ya serikali kwani Serikali yetu iko tayari kutusaidia kuwekeza nyumbani na wala si vingenevyo.
    Flag
  19. 19
    Name: MWATUMU SAID on Jun 2, 2007
    Comments:
    Flag
  20. 20
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: Zabuni yoyote itayo tolewa lazima itangazwe nawatu washindane. Tumechoka na ubabaishaji lazima body iliyotoa zabuni wawajibishwe. Watanzania hii si issue yakuichukulia kiuatani ni serious lazia tuivalie nuga Jack
    Flag
  21. 21
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: hili dili ni noma tunataka haki itendeke hatukubali
    Flag
  22. 22
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: hatukubaliani na huu mpango wa kibepari.nendeni mkaanzishe mashamba kama mnataka kuwa wawekezaji, siyo kuiba fedha tunayotafuta kwa jasho.
    Flag
  23. 23
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: hatukubali, serikali iingilie kati, tunaotaka kuwekeza nyumbani tunateseka na kukatishwa tamaa namna hii.
    Flag
  24. 24
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: Mimi ni mfanyakazi wa TBS, huu mkataba ulipitishwa wakati mama wa mkandarasi, Wilson Mutabazi akiwa bado hai na alikuwa ni Naibu Mkurugenzi wa TBS. Huu mkataba ulitolewa kikabila na kidugu, mkuu alieidhinisha mkataba huu Mr Kataba [Chief Certification Officer] alihusika kabisa na ni mhaya. Watanzania mlioko Uingereza tunawaunga mkono huu mkataba unafanya kampuni yetu ijulikane vibaya na inatoa picha mbaya kwetu sisi wafanyakazi. Uhaya umezidi hapa TBS...
    Flag
  25. 25
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: Hatukubali ng'o, enedelezeni kampeni, sisi ni wazanzibari tunaathirika zaidi kwani sisi ndio wasafirishaji mizigo wakuu. Tunaonewa na TBS!
    Flag
  26. 26
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: Hapa tanzania mikataba hii ipo mingi sana, kulikuwa na ule wa spidi gavana, ukaja ule wa namba plates lakini huu sasa sio wakati wa kusema chini chini, mlioko Uingereza unganikeni...pingeni hili
    Flag
  27. 27
    Name: Eric Winston on Jun 2, 2007
    Comments: MOT in this country is much better than TBS standards. In many ways technology, price wise and many more.
    Flag
  28. 28
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: mwenyekiti faraj anatetea maslahi ya watanzania au ndio maslahi yake binafsi kwanza
    Flag
  29. 29
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: mwenyekiti faraj anatetea maslahi ya watanzania au ndio maslahi yake binafsi kwanza
    Flag
  30. 30
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: suala hili kina faraji wamelichukulia kimchezo lakini linaweza likavunja jumuiya asipokua makini
    Flag
  31. 31
    Name: Mnyampaa on Jun 2, 2007
    Comments: Huu ni wizi wa kimachomacho. Kwanza hakuna tenda iliyotolewa ili kupata kampuni husika, pili inadaiwa kuwa gharama zake ni kama 3 times zile za MOT. Tatu, kampuni haijaonyesha ni vipi itaweza kuhudumia watanzania wote kutoka kwenye vitongoji mbalimbali vya UK. Kwanini TBS wasishirikiane na MOT kupata vyeti vya ubora kama wanavyofanya na JAAI ya Japani
    Flag
  32. 32
    Name: SteveD on Jun 2, 2007
    Comments: MOT ya UK inatosha.
    Flag
  33. 33
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: Lazima serikali iwajibike.
    Flag
  34. 34
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: Lazima serikali iwajibike.
    Flag
  35. 35
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: Huu ni wizi wa wazi wazi
    Flag
  36. 36
    Name: A A on Jun 2, 2007
    Comments: Hatukubaliani na urasimi wa serikali. Liko wapi fagio la Chuma!
    Flag
  37. 37
    Name: MR KAZUNGU on Jun 2, 2007
    Comments: Sasa hawa jamaa wanaojiita "WTM" wamefungua matawi belgium france german italy spain JapanKwa nini watanzania wanaoishi uingereza peke yake Na kama mtanzania anayeishi tanzania anataka kununua gari kupitia kwenye internet uingereza itabidi afunge safari kwenda uingereza
    Flag
  38. 38
    Name: Anonymous on Jun 2, 2007
    Comments: Maoni yangu ni kuwa hili swala kwa ujumla si sahihi na ningependa tu kumshahuri huyo bwana mmiliki wa kampuni hiyo ya kihuni kama si ya kitapeli ajalibu kufikiria dili ingine , hii mzee wangu hufiki popote tunaomba husituchezee mjomba hela ngumu!
    Flag
  39. 39
    Name: Isaac Mgwasa on Jun 2, 2007
    Comments: This is just insane. What made this hypocrites start this silly business that everyone opposes
    Flag
  40. 40
    Name: Aziz Senzia on Jun 2, 2007
    Comments: I don't think I need to pay twice a MOT! This test, to me just like many fellow Tanzanians here, is just dublication of MOT, so I can't afford to re-do it. I say NO! A big NO.
    Flag
  41. 41
    Name: Mole on Jun 2, 2007
    Comments: Hii tunasema ni dunia ya ukweli na uwazi hivyo ndio maana kukawa na mifumo ya kutangaza tenda na kuweka matangazo kwa siku kadhaa ktk magazeti ya serikali, sasa hili DILI ni la watu wachache tu serikarini na hawa jamaa zetu wenye njaa kama sisi, kama wao watu wa kuona mbali mbona kuna dili kibao tu za kuwatia hawa wazungu mchanga wa macho mpaka waje kutubana sisi walalahoi au kwa sababu bongo hakuna SHERIA basi kwa ufupi tutakomaa nao kwani haka ka-inchi kamatufunza mengi na huu ni mwanzo wa kupambana na maovu yenu. WATUAMBIE KIPI KIPYA KATIKA HIYO TEST YAO, AU TBS WANA UBORA SANA KULIKO MOT'S TUNAZOFANYIWA HAPA, WE'RE NOT STUPID!!!!
    Flag
  42. 42
    Name: Anrtrader on Jun 2, 2007
    Comments: napinga suala hili
    Flag
  43. 43
    Name: Justin Magila on Jun 3, 2007
    Comments: Stop it!
    Flag
  44. 44
    Name: Sophia Joan Michelle Odeke on Jun 3, 2007
    Comments: Hivi Bongo kuna chombo chenye kiwango na gharama kinachoweza kupita MOT! Hivi haya mambo ya kujisingizia Tanzania ni nchi changa kila siku yatakwisha kweli miaka mingapi ya uhuru bado tunavaa nepi Na serikali inaamini watu wote hata tuliyo nje ya nchi hatuna exposure Lini hii tabia ya kutafuta pesa za wazelando kwa matumizi ya wezi wachache serikalini itakwisha Huyo aliyekula rushwa ya kuhalalisha WTM ni bora airudishe kwa manufaa ya Watanzania wote sio tumbo lake tu.. This is outrageous and dispicable!!
    Flag
  45. 45
    Name: Bfb on Jun 3, 2007
    Comments: wizi mtupu kama kawaida na govt ya kikwete ya kishkaji
    Flag
  46. 46
    Name: Abduli Chama, Leicester on Jun 3, 2007
    Comments: Jamani tuamke huu ni wizi wa mchana!
    Flag
  47. 47
    Name: Kimweri Mzale,canada on Jun 3, 2007
    Comments: Hii kali du! wakifanikiwa hawa sina hamu tena na tanzania
    Flag
  48. 48
    Name: Abdul A on Jun 3, 2007
    Comments: Tunategemea hiki ndio kitakua chanzo cha kuwaamsha wa Tanzania ikiwa ndani na nje ya Nchi.
    Flag
  49. 49
    Name: Anonymous on Jun 3, 2007
    Comments:
    Flag
  50. 50
    Name: Nunu Chondoma on Jun 3, 2007
    Comments: Hatutaki utapeli. Huu ni wizi wa kitoto. Kama kweli wanataka MOT it should be from any GENUINE company. By the way MOT is only
    Flag

Page: 1, 2, 3, 4, ... 73 »

Sponsored links