Powered by iPetitions - start your online petition now

 

Signatures | Total: 120

 

# Name/JinaCountry/Nchi Taasisi yako/InstitutionComments/Maoni
101 JOHNSON BROWN McEWANDEKonstanzyeah,indeed,he has to resign and go back to his village as he cannot lead a crucial ministry which touches the life of almost all young men in Tanzania. Go Professor Msolla,Go.
102 RoseCAQuebec
103 AnonymousBWBLMHuyu Bwana ameshindwa kazi kabisa naomba atusaidie vyuo vyetu vya juu
104 Gideon MchauDKCopenhagen UniversityHuyu bwana, kwanza kadfanganya UMMA pamoja na RAIS kwa kusema mwaka huu hela za wanafunzi hazijachelewa kitu ambacho kiliongelewa saaaana na kuna watu wanakusany info sasa kuweka wazi kuonesha waziri kasema uongo. Hivyo AJIUZULU
105 AnonymousTZinternational banking
106 AnonymousTZtaasisi ya elimu tanzaniakwa ufupi ni kuwa BODI YA MIKOPO IVUNJWE,imekuwa ikiwasumbua wanafunzi sana mpaka inafikia maofisa mikopo wanatembea na wanafunzi ili wapate mikopo,hata mitaani hawa jamaa pamoja na wahasibu,kinachouma ni kwa nini wanafunzi wanyanyaswe wakati nihaki yao kupata hiyo mikopona watairudisha?hawa jamaa wanaela sio mchezo yaani mtaani hakukaliki!na mishara ya serikali tunaijua! MSOLLA BADO HUJASTAAFU TUUUUUUUU
107 AnonymousTZRafiki Info-TechAjiuzulu haraka sana
108 AnonymousTZmfanyabiasharaAtoke, hafai!
109 AnonymousTZAga KhanHe is the worst minister i have ever seen. go msolla
110 positive thinkerTZprivatehafai
111 mfamajiTZprivateAondoke
112 AnonymousJPKUJITEGEMEAAJIUZURU HUYO
113 AnonymousTZUNICTRMi nadhani anazidi kuchelewa, angefanya hivyo tangu lile sakata la Ukraine. Lakini nadhani pia yeye mwenyewe ameshaliona hilo ni wakati tu wa yeye kufanya maamuzi ya Kizalendo. Awaachie watanzania wengine wenye uwezo walitumikie taifa lao na kuleta mageuzi katika sekta hiyo. Kama anasuasua kufanya uamuzi ni wajibu wa Mh. rais kumsaidia kufanya maamuzi kwa manufaa ya Taifa.
114 francesca FrancisTZself employedameshindwa kazi na anakiuka sheria za utoaji mikopo kwa kuweka taratibu zisizokuwepo kisheria....
115 Mlala hoi 'msomi'TZPrivateProf. Msola leave please, Kwani ni lazima ulazimisha kazi ambayo imekushinda, mbona kuna kazi nyingi unaweza jaribu, kazi ya menejimenti inahitajitaji utashi na common sense ya mtu, haijalishi uprofessor ila mtu mwenye digrii moja anaweza ongoza vizuri kuliko wewe, leave Msola leave
116 AnonymousTZUDOM
117 AnonymousTZprivateje msolla ana akili kweli?
118 J.J.PIKADILIGBLONDON SCHOOL OF ECONOMICSHivi ni lini waafrika tutapunguza uvivu wa kufikiri?
119 Jean ChrisDEdddHAllo
120 mimiCNhaikuhusuMsola hafai hata chembe moja, Tafadhali aondolewe,migomo isiyo na suluhisho chuo kikuuu inatosha,toa hii kitu madarakani

 

Signatures | Total: 120