Powered by iPetitions - start your online petition now

 

Signatures | Total: 120

 

# Name/JinaCountry/Nchi Taasisi yako/InstitutionComments/Maoni
1 MwanakijijiNawakaribisha kutia sahihi ombi hili ili hatimaye lifikishwe kwenye vyombo vya habari vya Tanzania.
2 AnonymousIts time ni aibu kwa Tanzania.
3 AnonymousMsola ajiuzulu kwani ni dhahiri kazi imemshinda
4 AnonymousLazima ajiuzulu kwa kiburi chake.
5 salim zayumba
6 Anonymousmie naona wengi tuu wajiuzulu
7 kipangaYeah we need him to resign
8 BenTHis is very cruel and shamefully for democratic government.Amnesty International,human rights watch,plz take our hand!
9 Sembe, UKkwa heshima ya Tanzania ajiuzulu mara moja.
10 Sweet BaileyPamoja na Mh.Rais pia aachie ngazi kwani na yeye analielewa hili swala lakini hajachukua hatua zozote na huenda yeye ndiyo kikwazo hata kwa waziri.
11 Yona MaroHuyu jamaa ajiuzuru na hana sababu yoyote ya kuendelea kukaa madarakani na basi kama akiendelea asusiwe sehemu zote anazotembelea kuanzia vyombo vya habari mpaka washikadau njiani
12 Mtu mwitujiuzulu haraka kabla wakati haujakulazimisha zaidi kuondoka ukiwa na soni
13 DNaunga mkono Msolla ajiuzulu, kashindwa kutetea ubinaadamu wa Watanzania wenzetu.
14 aminaMie napenda huyu jamaa anaejiita msola ajiuzulu,pia hata kikwete hajiuzulu nothing anafanya ktk uongozi wake,bola mkapa kuliko hawajama wanatumia pesa nyingi sana ktk safari zao za nje
15 regina kundyProf. Msolla lazima ajiuzulu na wengine wafuate. Tumechoka na hawa viongozi wetu wanaochezea madaraka .
16 AnonymousProf. Msolla lazima ajiuzulu na wengine wafuate. Tumechoka na hawa viongozi wetu wanaochezea madaraka .
17 regina kundyProf. Msolla lazima ajiuzulu na wengine wafuate. Tumechoka na hawa viongozi wetu wanaochezea madaraka .
18 Anonymous
19 AnonymousSio suala la hiari..Msolla ajiuzulu kunusuru heshima ya watanzania walioko vibarazani mwa watu! ame-prove failure kama waziri..OUT!
20 AnonymousTafadhali ajiuzuru
21 Kitila MkumboMsolla has failed us and our country; he has to go, and go now!
22 AnonymousNi bora huyo prof aachane na uongozi, kwasababu ni mzembe sana.
23 AnonymousAmeshindwa, arudi akafundishe an sio kuongoza
24 AnonymousAjiudhuru
25 AnonymousUSProf Msolla ameshindwa kuongoza Wizara ya Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia sawasawa hasa ukilinganisha kuwa yeye ni mwanazuoni aliyebobea anayejua matatizo ya elimu ya juu nchini pale kuliko wanasiasa wengine wengi. Matatizo makubwa yaliyomshinda kusimamia ambayo yanalenga kwenye uti wa mgongo wa Wizara yake ni kuhusu welfare ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu wanaotegemea serikali. Ameshindwa kutatu tatizo la mikopo ya wanafunzi hawa na hivyo kusababisha migomo na maandamao yasiyokuwa ya lazima na ambayo yanaathiri mazingiria ya kujifunza
26 Joseph JoachimTZhauna sababu ya kua kiongzi kama ukishindwa kusaidia hata kwenye issue ndogo ya hawa watoto
27 AnonymousTZ
28 MkandaraTZAmeshindwa kuongoza wizara yake
29 nsjigwa bonifasTZ
30 Beatrice TigwelaBE
31 kevinGBkama kazi imekushinda, jiuzulu mara moja
32 AnonymousTZ
33 Julius Magembe aka Nyani NgabuUSWewe Msolla hebu achia ngazi mara moja. Huna hata haya wala ustaarabu wewe. Utakataje simu namna hiyo wakati kuna maisha ya Watanzania wenzako yako hatarini. Huna utu kabisa na hufai kuongoza. Achia ngazi mara moja kwani unaaibisha.
34 IcebergUSMsolla Must go Now, go go go.... you have failed Us.
35 icadonTZWakati umewadia wa Msolla kufungasha virago, asisubiri kuwajibishwa ajiuzuru mwenyewe arudi kijijini kwao akalime mahindi
36 Poel MartinUS
37 AnonymousCDNami kwa nia moja naungana na Watanzania wenzangu katika kumtaka huyo waziri ajihuzuru haraka sana
38 MOKILI JAY,JPProf Msolla anatakiwa ajiuzulu kwa kushindwa kuongoza wizara muhimu.Elimu ya juu si kitu cha mchezo,elimu ndio itatuwezesha kupambana na umaskini,bila elimu mheshimiwa Msolla asingeitwa Prosefa,sasa tunataka hicho kiwango chake elimu alichokifikia pia wakipate na watu wengine wengi tu,kwa jinsi hiyo inabidi aachie ngazi ili watu wenye uchungu na nchi waongoze hiyo wizara,pia tunataka tupambane na wazembe wote serikali,hiki kizazi cha sasa si kama kile cha mwaka 47,tunajua mengi sana sasa,tupo kwenye dunia ambacho sasa hakuna kinachoweza kufichika.Enzi zenu mambo yalikuwa yanafichika,kwani hata TV hazikuwepo,leo hii tuna kila kitu cha kuwezesha kupambana na wasiojali kazi zao.Msolla,YOU SHOULD RESIGN AS SOON AS POSSIBLE,WE ARE TIRED WITH THESE KIND OF LEADERS.
39 AnonymousTZhe must resign
40 MtanzaniaTZAjiuzulu ni aibu kwa taifa na kaka yeyey Nyerere akumsomesha asingekuwa Prof. LEO
41 JOHN MREMATZanapaswa kuwajibika ili kulinda heshima yake na pia kupisha ili mwingine aingie ili hawa vijana waweze kupewa haki yao ya kusoma. Naamini wapo ambao wanaweza kuwasaidia hawa vijana waweze kuendelea na shule yao.
42 John MnyikaTZUovu hushamiri pale watu wema wanapokaa kimya
43 AgnesTZMsolla kashindwa tumia busara/hekima na uprofesa wake kumaliza tatizo dogo la vijana alio kabidhiwa na serikali ya Tanzania kuwa shughulikia, Arudi akafundishe SUA kwenye taaluma yake uongozi hauwezi. Waachie wengine nafasi wanao weza.
44 ZawadiTZTIAhafai kabisaaa huyo msola
45 NjovuTZPrivateAmeshindwa kushughulikia tatizo la wanafunzi wa kitanzania Ukraine.....wapo taabani kimasomo na kiuchumi. Na aondoke.
46 MtanzaniaGBJamboforums
47 AnonymousTZTanzania Commission for Science and TechnologyWe are equally facing the problem. My institute also falls under his ministry and he doesn't seem to be aware of how much it has been ruined down by irresponsibility. He should definitely go and he is so incapable that he should not be given any other such responsibilty for life. Hata ubunge walikosea kumchagua kwa kiwango hiki cha mawazo!
48 Egidio NINStudentKwa kifupi hana maana pale bora ajiuzulu.Haya ndio matokeo ya kuingia bungeni kwa nji za rushwa alitumia mbinu chafu kumtoa Mwamoto ili kuja kuua elimu yetu! Jk ni fundisho kwake kwa kuchagua wasaidizi wasiofaa.
49 Ali SelemaniCADTT - TanzaniaKitendo cha kusema kuwa hawatambui vijana ambao katika wakati huo wako katika hali ngumu ni cha kinyama sana. Hata kama waliondoka bila ridhaa ya serikali, wakati huu haukuwa mwafaka kwa yeye kama mwakilishi wa serikali kusema kuwa hawatambui. Alitakiwa achukue hatua za kuwaokoa halafu taratibui zingine zifuate baadae. Pili kitendo chake cha kukata simu kila suala hili linapotajwa ndo la kinyama zaidi. Hata siamini kama ana watoto na wanategemea wana baba.
50 AnonymousCADTT - TanzaniaKitendo cha kusema kuwa hawatambui vijana ambao katika wakati huo wako katika hali ngumu ni cha kinyama sana. Hata kama waliondoka bila ridhaa ya serikali, wakati huu haukuwa mwafaka kwa yeye kama mwakilishi wa serikali kusema kuwa hawatambui. Alitakiwa achukue hatua za kuwaokoa halafu taratibui zingine zifuate baadae. Pili kitendo chake cha kukata simu kila suala hili linapotajwa ndo la kinyama zaidi. Hata siamini kama ana watoto na wanategemea wana baba.

 

Signatures | Total: 120