Powered by iPetitions - Start your online petition now

Signatures 122 total

Page: 1, 2, 3

  1. 1
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: Mwanakijiji
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Nawakaribisha kutia sahihi ombi hili ili hatimaye lifikishwe kwenye vyombo vya habari vya Tanzania.
    Flag
  2. 2
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: Dua La Kuku
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Its time ni aibu kwa Tanzania.
    Flag
  3. 3
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: Ally
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Msola ajiuzulu kwani ni dhahiri kazi imemshinda
    Flag
  4. 4
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: Juma Kayanza
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Lazima ajiuzulu kwa kiburi chake.
    Flag
  5. 5
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: salim zayumba
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni:
    Flag
  6. 6
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: BUI
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: mie naona wengi tuu wajiuzulu
    Flag
  7. 7
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: kipanga
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Yeah we need him to resign
    Flag
  8. 8
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: Ben
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: THis is very cruel and shamefully for democratic government.Amnesty International,human rights watch,plz take our hand!
    Flag
  9. 9
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: Sembe, UK
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: kwa heshima ya Tanzania ajiuzulu mara moja.
    Flag
  10. 10
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: Sweet Bailey
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Pamoja na Mh.Rais pia aachie ngazi kwani na yeye analielewa hili swala lakini hajachukua hatua zozote na huenda yeye ndiyo kikwazo hata kwa waziri.
    Flag
  11. 11
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: Yona Maro
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Huyu jamaa ajiuzuru na hana sababu yoyote ya kuendelea kukaa madarakani na basi kama akiendelea asusiwe sehemu zote anazotembelea kuanzia vyombo vya habari mpaka washikadau njiani
    Flag
  12. 12
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: Mtu mwitu
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: jiuzulu haraka kabla wakati haujakulazimisha zaidi kuondoka ukiwa na soni
    Flag
  13. 13
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: D
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Naunga mkono Msolla ajiuzulu, kashindwa kutetea ubinaadamu wa Watanzania wenzetu.
    Flag
  14. 14
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: amina
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Mie napenda huyu jamaa anaejiita msola ajiuzulu,pia hata kikwete hajiuzulu nothing anafanya ktk uongozi wake,bola mkapa kuliko hawajama wanatumia pesa nyingi sana ktk safari zao za nje
    Flag
  15. 15
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: regina kundy
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Prof. Msolla lazima ajiuzulu na wengine wafuate. Tumechoka na hawa viongozi wetu wanaochezea madaraka .
    Flag
  16. 16
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: regina kundy
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Prof. Msolla lazima ajiuzulu na wengine wafuate. Tumechoka na hawa viongozi wetu wanaochezea madaraka .
    Flag
  17. 17
    Name: Anonymous on May 23, 2007
    Name/Jina: regina kundy
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Prof. Msolla lazima ajiuzulu na wengine wafuate. Tumechoka na hawa viongozi wetu wanaochezea madaraka .
    Flag
  18. 18
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Dr.Khamis
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni:
    Flag
  19. 19
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Mwendapole
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Sio suala la hiari..Msolla ajiuzulu kunusuru heshima ya watanzania walioko vibarazani mwa watu! ame-prove failure kama waziri..OUT!
    Flag
  20. 20
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Mohamed Hassan
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Tafadhali ajiuzuru
    Flag
  21. 21
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Kitila Mkumbo
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Msolla has failed us and our country; he has to go, and go now!
    Flag
  22. 22
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Edgar Mwambene
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Ni bora huyo prof aachane na uongozi, kwasababu ni mzembe sana.
    Flag
  23. 23
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Mimi Mwenyewe
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Ameshindwa, arudi akafundishe an sio kuongoza
    Flag
  24. 24
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Mohamed Issa
    Country/Nchi :
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Ajiudhuru
    Flag
  25. 25
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Kichuguu
    Country/Nchi : US
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Prof Msolla ameshindwa kuongoza Wizara ya Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia sawasawa hasa ukilinganisha kuwa yeye ni mwanazuoni aliyebobea anayejua matatizo ya elimu ya juu nchini pale kuliko wanasiasa wengine wengi. Matatizo makubwa yaliyomshinda kusimamia ambayo yanalenga kwenye uti wa mgongo wa Wizara yake ni kuhusu welfare ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu wanaotegemea serikali. Ameshindwa kutatu tatizo la mikopo ya wanafunzi hawa na hivyo kusababisha migomo na maandamao yasiyokuwa ya lazima na ambayo yanaathiri mazingiria ya kujifunza
    Flag
  26. 26
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Joseph Joachim
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: hauna sababu ya kua kiongzi kama ukishindwa kusaidia hata kwenye issue ndogo ya hawa watoto
    Flag
  27. 27
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: m
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni:
    Flag
  28. 28
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Bernard Muakei a.k.a Mwanakijiji
    Country/Nchi : US
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Ni lazima Prof. Msolla ajiuzulu!!
    Flag
  29. 29
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Mkandara
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Ameshindwa kuongoza wizara yake
    Flag
  30. 30
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: nsjigwa bonifas
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni:
    Flag
  31. 31
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Beatrice Tigwela
    Country/Nchi : BE
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni:
    Flag
  32. 32
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: kevin
    Country/Nchi : GB
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: kama kazi imekushinda, jiuzulu mara moja
    Flag
  33. 33
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Icadon
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni:
    Flag
  34. 34
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Julius Magembe aka Nyani Ngabu
    Country/Nchi : US
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Wewe Msolla hebu achia ngazi mara moja. Huna hata haya wala ustaarabu wewe. Utakataje simu namna hiyo wakati kuna maisha ya Watanzania wenzako yako hatarini. Huna utu kabisa na hufai kuongoza. Achia ngazi mara moja kwani unaaibisha.
    Flag
  35. 35
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: Iceberg
    Country/Nchi : US
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Msolla Must go Now, go go go.... you have failed Us.
    Flag
  36. 36
    Name: Anonymous on May 24, 2007
    Name/Jina: icadon
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Wakati umewadia wa Msolla kufungasha virago, asisubiri kuwajibishwa ajiuzuru mwenyewe arudi kijijini kwao akalime mahindi
    Flag
  37. 37
    Name: Anonymous on May 25, 2007
    Name/Jina: Poel Martin
    Country/Nchi : US
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni:
    Flag
  38. 38
    Name: Anonymous on May 25, 2007
    Name/Jina: GREGORY GABONE
    Country/Nchi : CD
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Nami kwa nia moja naungana na Watanzania wenzangu katika kumtaka huyo waziri ajihuzuru haraka sana
    Flag
  39. 39
    Name: Anonymous on May 25, 2007
    Name/Jina: MOKILI JAY,
    Country/Nchi : JP
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Prof Msolla anatakiwa ajiuzulu kwa kushindwa kuongoza wizara muhimu.Elimu ya juu si kitu cha mchezo,elimu ndio itatuwezesha kupambana na umaskini,bila elimu mheshimiwa Msolla asingeitwa Prosefa,sasa tunataka hicho kiwango chake elimu alichokifikia pia wakipate na watu wengine wengi tu,kwa jinsi hiyo inabidi aachie ngazi ili watu wenye uchungu na nchi waongoze hiyo wizara,pia tunataka tupambane na wazembe wote serikali,hiki kizazi cha sasa si kama kile cha mwaka 47,tunajua mengi sana sasa,tupo kwenye dunia ambacho sasa hakuna kinachoweza kufichika.Enzi zenu mambo yalikuwa yanafichika,kwani hata TV hazikuwepo,leo hii tuna kila kitu cha kuwezesha kupambana na wasiojali kazi zao.Msolla,YOU SHOULD RESIGN AS SOON AS POSSIBLE,WE ARE TIRED WITH THESE KIND OF LEADERS.
    Flag
  40. 40
    Name: Anonymous on May 25, 2007
    Name/Jina: willium nyamusi
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: he must resign
    Flag
  41. 41
    Name: Anonymous on May 25, 2007
    Name/Jina: Mtanzania
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Ajiuzulu ni aibu kwa taifa na kaka yeyey Nyerere akumsomesha asingekuwa Prof. LEO
    Flag
  42. 42
    Name: Anonymous on May 25, 2007
    Name/Jina: JOHN MREMA
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: anapaswa kuwajibika ili kulinda heshima yake na pia kupisha ili mwingine aingie ili hawa vijana waweze kupewa haki yao ya kusoma. Naamini wapo ambao wanaweza kuwasaidia hawa vijana waweze kuendelea na shule yao.
    Flag
  43. 43
    Name: Anonymous on May 25, 2007
    Name/Jina: John Mnyika
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Uovu hushamiri pale watu wema wanapokaa kimya
    Flag
  44. 44
    Name: Anonymous on May 25, 2007
    Name/Jina: munezero kanyangemu
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: msolwa msenge huyo jamaa,yeye anafikiri kuwa prof. ndo kamaliza kila kitu. inabidi afahamu kuwa one time he will be down,na anahitaji msaada wa watu,and he will be denied it. what goes around comes around.
    Flag
  45. 45
    Name: Anonymous on May 25, 2007
    Name/Jina: Agnes
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution:
    Comments/Maoni: Msolla kashindwa tumia busara/hekima na uprofesa wake kumaliza tatizo dogo la vijana alio kabidhiwa na serikali ya Tanzania kuwa shughulikia, Arudi akafundishe SUA kwenye taaluma yake uongozi hauwezi. Waachie wengine nafasi wanao weza.
    Flag
  46. 46
    Name: Anonymous on May 25, 2007
    Name/Jina: Zawadi
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution: TIA
    Comments/Maoni: hafai kabisaaa huyo msola
    Flag
  47. 47
    Name: Anonymous on May 25, 2007
    Name/Jina: Njovu
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution: Private
    Comments/Maoni: Ameshindwa kushughulikia tatizo la wanafunzi wa kitanzania Ukraine.....wapo taabani kimasomo na kiuchumi. Na aondoke.
    Flag
  48. 48
    Name: Anonymous on May 25, 2007
    Name/Jina: Mtanzania
    Country/Nchi : GB
    Taasisi yako/Institution: Jamboforums
    Comments/Maoni:
    Flag
  49. 49
    Name: Anonymous on May 26, 2007
    Name/Jina: John Mahegere
    Country/Nchi : TZ
    Taasisi yako/Institution: Tanzania Commission for Science and Technology
    Comments/Maoni: We are equally facing the problem. My institute also falls under his ministry and he doesn't seem to be aware of how much it has been ruined down by irresponsibility. He should definitely go and he is so incapable that he should not be given any other such responsibilty for life. Hata ubunge walikosea kumchagua kwa kiwango hiki cha mawazo!
    Flag
  50. 50
    Name: Anonymous on May 26, 2007
    Name/Jina: Egidio N
    Country/Nchi : IN
    Taasisi yako/Institution: Student
    Comments/Maoni: Kwa kifupi hana maana pale bora ajiuzulu.Haya ndio matokeo ya kuingia bungeni kwa nji za rushwa alitumia mbinu chafu kumtoa Mwamoto ili kuja kuua elimu yetu! Jk ni fundisho kwake kwa kuchagua wasaidizi wasiofaa.
    Flag

Page: 1, 2, 3

Sponsored links